Polisi nchini Somalia imesema Watu kumi na tano wameuawa katika shambulio la bomu lililotegwa katika gari ndogo karibu na hoteli na migahawa miwili mjini Mogadishu nchini Somalia ambapo ...
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mipango, Ufuatiliaji, na Tathmini wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU Kulthum Mansoor afikishwa mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu.
Misa hiyo imeongozwa na Paroko Msaidizi wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph Padre Joseph Mosha. Mhe. Rais Magufuli amehudhuria misa hiyo akiwa na Mkewe Mhe. Mama Janeth Magufuli. Jumatano ya Majivu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na hatua iliyofikiwa ya mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es ...